Alhamisi, 9 Julai 2015

Manchester United bado wanaendeleza sagura sagura ya usajili na sasa wanataka saini ya mchezaji wa Southampton Morgan Schneiderlin.

 

Manchester United are heading back to Southampton to thrash out a deal for Morgan Schneiderlin (left)Manchester United wataiingia katika mazungumzo na Southampton juu kumnasa Morgan Schneiderlin. Sportsmail wanaeleza kuwa   mwakilishi wa klabu Old Trafford alisafiri hadi pwani ya kusini katika siku ya  Jumatano katika jitihada za kukamilisha mikataba wa mchezaji huyo wa timu ya taifa ya ufaransa.
United wanadhaniwa kuwa kuwasilisha kitita cha  £ 20million kwa ajili ya Schneiderlin
Bosi wa mashetani wekundu  Louis van Gaal anataka kumchukua Schneiderlin kutua  United kabla ya msimu wa  ziara ya Marekani.
chanzo (dailymail.co.uk)http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3154042/Manchester-United-head-Southampton-Morgan-Schneiderlin-deal-pre-season-tour.html

Hakuna maoni: