![]() |
Walinda milango wa Timu ya MUM wakifanya mazoezi kabla ya mechi dhidi ya Saba saba Fc (kushoto) Miraji Muswadick na Mzee wa Yanga.picha na Majid Yusuf |
![]() |
Kocha Mkuu wa MUM FC Mwl. Abdallah Kessy akitoa maelekezo kwa vijana wake dhidi ya Saba saba fc Mkoani Dodoma mwishoni mwa wiki jana.picha na Majid Yusuf |
![]() |
Timu ya Chuo Kikuu Cha Waislaam Morogoro( MUM FC) wakiwa katika Uwanja wa Dodoma Secondary kabla ya kukipinga na Saba saba Fc ya Mkoan hapo. picha na Majid Yusuf. |
![]() |
Mtanange wa MUM FC dhidi ya Saba saba Fc ukiendelea katika viwanja vya Dodoma Secondary mkoani humo.picha na Majid Yusuf |
![]() |
Baadhi ya wachezaji wa MUM Fc wakimpongeza kinda wa Saba saba fc ya mkoani Dodoma baada ya MUM FC Kushinda wa 3 bila .picha na Majid Yusuf |
![]() |
Baadhi ya viongozi wa wa MUM FC wakijivunia ushindi wa 3 bila dhidi ya Saba saba fc ya MKoani Dodoma .picha na Majid Yusuf |
![]() |
Baadhi ya wachezaji wa MUM FC wakifanya mazoezi ya kuuchezea mpira kabla ya kukwaana na wenyeji wao CBE FC ya mkoani Dodoma.picha na Majid Yusuf |
![]() |
Baadhi ya viongozi wa MUM FC wakitoa maelekezo kwa timu yao kabla ya mechi dhidi ya CBE FC ya Dodoma.picha na Majid Yusuf |
![]() |
Baadhi ya wachezaji wa MUM FC wakisikiliza maelekezo kutoka kwa viongozi wa timu hiyo kabla ya kukwaana na CBE FC.picha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM FC katika picha kabla ya kukwaana na CBE FC ya Dodoma picha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM FC wakifanya womapu kabl;a ya mchezo wao kabla ya CBE FC picha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM FC KATAIKA UWANJA WA CBE MJINI DODOMApicha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM FC wakati wa kupasha Charlse Masesa (aliyechini) akiwa amepata mshutuko wa nyama za mguu wa kulia.picha na Majid Yusuf |
![]() |
baadhi ya wachezaji wa MUM FC wakiwa wanaangalia ubora wa uwanja wa CBE FC kabla ya mechi yao dhidei ya CBE FCpicha na Majid Yusuf |
![]() |
Timu ya CBE FC ya Dodoma wakifanya womapu kalba ya kuwakabili MUM Fc ya kutoka Mkoani Morogoro.picha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM FC WAKIMFATILIA MWALIMU WAO KABLA YA MCHEZO WAO DHIDI YA CBE FC YA MKOANI DODOMA.picha na Majid Yusuf |
![]() |
First eleven ya MUM FC kabla ya kukwaana na CBE FC.picha na Majid Yusuf |
![]() |
Benchi la ufundi la MUM FC wakiufatilia kwa makini mtanange dhidi yao na CBE fc .picha na Majid Yusuf |
![]() |
Kocha mkuu wa timu ya CBE FC akitoa maelekezo kwa vijana wake.picha na Majid Yusuf |
![]() |
Wachezaji wa mum fc wakishangilia goli la 4 la mshambuliaji wao Ally Hamad(wa kwanza alovaa jezi )kwa kupiga kaswia .picha na Majid Yusuf |
![]() |
Mshambuliaji wa timu ya MUM FC Ally Hamadi akishangilia goli lake la 4 kwa kusujudu dhidi ya CBE FC .picha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM fc wakishangilia goli lao la 3 dhidi ya CBE FC ya Dodoma. picha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM fc wakipasha kabla ya mechi ya dhidi ya Jeshi la Magereza Kuu Isanga ya Dodoma.picha na Majid Yusuf |
![]() |
Baadhi ya wachezaji wa timu ya jeshi la magereza la Isanga ya Dodoma wakifanya mazoezi kbala ya kuminyana na MUM FC. picha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM FC wakipokea maelekezo kutoka kwa kocha wao Mwl. Abdallah Kessy kabla ya mechi yao na jesji la magereza Isanga ya Dodoma. picha na Majid Yusuf |
![]() |
Kikosi cha MUM FC kabla ya mchezo wao dhidi ya ISANGA FC ya mkoani Dodoma. picha na Majid Yusuf |
![]() |
Charlse Masesa baada ya kupiga mkwaju wa penalt akiwafanya MUM FC kufuta machozi kwa 2- 1dhidi ya Isanga fc. picha na Majid Yusuf |
![]() |
ISANGA FC KATIKA UBORA WAKE. picha na Majid Yusuf |
![]() |
Mashabiki wa mum fc wakishudia mechi dhidi yao na Isanga fc . picha na Majid Yusuf |
![]() |
Kocha Mkuu wa MUM FC Abdallah Kessy(wakwanza kulia) akifatilia mechi yao dhidi ya Isanga fc. picha na Majid Yusuf |
![]() |
Mwalimu Abdallah Kessy baada ya kufungwa gali la pili na timu ya Isanaga ya mkoani ya Dodoma. picha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM FC baada ya mechi yao dhidi ya Isanga fc, mum fc walipoteza mechi hiyo kwa kufungwa mbili moja. picha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM FC na ISANGA FC wakiwa katika picha ya pamoja wakimanisha michezo ni umoja. picha na Majid Yusuf |
![]() |
MUM fc wakiwa katika gari lao na majonzi baada ya kupoteza mchezo wao dhidi ya Isanga fc kwa matokeo ya 2-1. picha na Majid Yusuf |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni