Na Majid Yusuf, MUM
Timu ya mpira wa
miguu ya Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro(MUM FC) imeendelea kufanya vizuri
katika michezo ya kirafiki baada ya kuibuka na ushindi wa moja bila dhidi ya
Chuo Kikuu cha Biashara Dodoma (CBE FC).
Katika mchezo huo uliochezwa Jumamosi ya leo katika Chuo
Kikuu cha Waislam Morogoro ( MUM) ulishuhudiwa wenyeji MUM FC wakitafuta mbinu
ya ziada ili kupata ushindi baada ya wageni CBE Dodoma kuonekana kuimalika
hukuwakihitaji kulipiza kisasi dhidi ya timu hiyoiliyowachabanga 4 - 3 huko
kwao mkoani Dodoma.
Shukurani za pekee ziende kwa timu kaptain wa MUM FC Mohamed
Humbaru( Bro Mudy)aloipatia goli la ushindi na kufanya mchezo umalizike kwa
moja bila dhidi ya wapinzani wao CBE FC ya Dodoma.
Mara baada ya mchezo huo walimuwa timu zote
mbiliwalipongezana kutokana na timu hizokuonyesha mchezowa kiungwana uliokuwa
umesheheni nidhamu kuanzia ule wa mkoani Dodoma na wa leo.
HABARI PICHA
 |
Kocha mkuu wa MUM FC Abdallah Kessy akijipanga kukabiliana na mtanange wa CBE jion ya leo. picha na Majid Yusuf. |
 |
Kocha mkuu wa MUM fc akiufatilia mtanange mkali dhidi yake na CBE ya Dodoma. picha na Majid Yusuf. |
 |
Timu ya MUM FC akifanya mazoezi madogo kabla ya mechi yao na CBE ya Dodoma. picha na Majid Yusuf. |
 |
MUM FC wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao waleo jion dhidi ya CBE FC ya Dodoma. picha na Majid Yusuf |
 |
Timu ya CBE ya Dodoma wakifanya womapu kabla ya mechi yao dhidi ya wenyeji wake MUM FC jion ya leo. picha na Majid Yusuf. |
 |
CBE FC wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mechi yao na MUM FC. picha na Majid Yusuf. |
 |
Benchi la ufundi la MUM FC wakifatilia mtanange wao na CBE ya Dodoma jion ya leo. picha na Majid Yusuf. |
 |
Kocha wa MUM FC akitoa maelekezo kwa timu yake dhidi ya CBE FC ya Dodoma. picha na Majid Yusuf |
 |
Baadhi ya wachezaji wa timu ya MUM FC wakijipongeza baada ya goli la kwanza la Mohamed Humbaru. picha na Majid Yusuf. |
 |
Baadhi ya mashabiki wakiufatilia kwa makini mtanange wa MUM FC dhidi ya CBE ya Dodoma jioni ya leo. picha na Majid Yusuf. |
 |
Benci la ufundi la timu ya CBE YA Dodoma wakifatilia mtanange kwa umakini. picha na Majid Yusuf. |
 |
Timu zote mbili CBE FC na MUM FC wakiwa katika picha ya pamoja baada ya mchezo wao ulopigwa katika viwanja vya MUM kwa ishara ya kudumisha upendo na amani. picha na Majid Yusuf. |
 |
Waziri wa michezo MUM mstaafuwa Hussein Nyombi(kulia) akitambulisha uongozi mpya kwa wageni CBE. Picha na Majid Yusuf. |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni