Jumatatu, 6 Julai 2015

Cristiano Ronaldo amegoma kuongea juu uhamisho wa Sergio Ramos kwenda manstester united

Sergio Ramos of Real Madrid celebrates scoring their first goal in stoppage time during the UEFA Champions League Final between Real Madrid and Atletico MadridCristiano Ronaldo amegoma kuongelea juu ya suala la nyota mwenzie Sergio Ramos kutaka kuhama na kuelekea katika klabu aliyo hama ya Manchester united.
Ramos amefikia karibu kuhama katika klabu yake ya real madrid na kulekea
Old Trafford baada ya kutokuelewana na baadhi ya viongozi wa  Bernabeu.
Ronaldo alionekana mwenye hasira alipoulizwa kuhusu Ramos, akisema: "Sijui, mimi sijui"
Wakati nyota wa Ureno alionekana kuchanganyikiwa baada ya waandishi wa habari kumtaka ate maoni yake juu ya uhamisho wa
Sergio Ramos ambao unaonekana kuelekea kufanikiwa. (chanzo mirror.co.uk ).http://matatachede.blogspot.com/2015/07/cristiano-ronaldo-amegoma-kuongea-juu.html

Hakuna maoni: