Jumapili, 31 Mei 2015

LIGI YA SODA MUM YA LETA SHANGWE ZA KUFA MTU, YASSIN MKONO NA MWALIM HAMADI NANI NI NANI?

 Baadhi ya Watangazaji wa MUM katika kipindi cha Dimba la michezo wakifuatilia mchezo kati ya  Staff na Mwaka wa pili.

Baadhi ya Wachezaji wa Staff wakijipongeza baada ya kutinga fainali 

 Twalibu chande Mchezaji wa timu ya mwaka wa pili ambaye aligeuka kuwa kocha wa timu ya Staff

Hassan Kimweri miongoni mwa wachezaji wa timu ya Staff akimsaidia Nahodha Mwalim Hamadi baada ya kuumia mchezoni.

 Abrahamani Muchi akitoka kumpisha Mfinanga katika mechi yao dhidi ya Diploma Sayansi.

Mashabiki wa timu ya staff wakimbeba nahodha wa timu hiyo Mwalimu Hamadi baada ya kuibuka washindi na kutinga fainali.

Waliokuwa wanafunzi katika Diploma Sayansi ambao walijitokeza kuwashangilia Sayansi wenzao wakipoteza mchezo dhidi ya staff (Gilbert Jorge kushoto mbele na Kudra Ali kulia mbele)

Mashabiki wakiwa katika Jukwaa la juu kushudia mchezo kati ya staff na diploma sayansi.

 Wadau wa soka wakishuhudia mchezo kati ya Diploma Sayansi na Mwaka wa Tatu katika Uwanja wa chuo Kikuu Cha Waislam Cha Morogoro.

Mashabiki wa soka Chuo Kikuu Cha Waislam cha Morogoro wakishuhudia mechi kati ya Diploma Sayansi na mwaka wa Tatu

Mchezaji Jawadu Juma wa Diploma Sayansi akiwania mpira wakati wa mechi ya nusu fainali ya pili dhidi ya mwaka wa Tatu.


Kikosi cha Timu ya Diploma Sayansi kabla ya mchezo wa nusu fainali dhidi ya mwaka wa tatu.

Kikosi cha Timu ya mwaka wa tatu kabla ya kuingia uwanjani kuwavaa  Diploma Sayansi katika Nusu Fainali ya pili

 Mchezaji wa Timu ya Sayansi Jawadu Juma 'Kinyobwa' akitoka nje ya uwanja akimpisha mchezaji mwenzake kuchukua nafasi yake.

Nahodha wa timu ya wafanyakazi wa chuo(staff)  Mwalimu Hamadi suleiman 'bwana dullah' akikagua mguu wake mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha kwanza cha mchezo wao wa kombe la soda chuo kikuu cha waislam cha Morogoro dhidi ya timu ya Diploma Sayansi.

Abdallah Kessy mwamuzi wa michuano ya ligi ya Soda MUM.( picha na Majid Musisy)

Hakuna maoni: