Jumatano, 27 Mei 2015

MTANI MKUBWA NI MKUBWA, NDO SOKA JIPANGE UPYA

Timu ya Mwaka wa Tatu BAED MUM kabla ya kuminyana na watani wao BAED MWAKA WA PILI juzi uwanja wa MUM (picha na Majid Musisy)


Timu ya MWAKA WA 3 BAED kabla ya kabiliana na watan wao MWAKA WA PILI BAED juzi uwanja wa MUM (picha na Majid Musisy)

Hamis Kawaga ndiye goli kipa bora wa raundi ya kwanza ligi ya Soda MUM kutoka timu ya BAEDB MWAKA WA TATU ( picha na Majid Musisy)

Yasini Mkono aliyefunga goli la pekee kuwaondoa watani wao BAED MWAKA WA PILI katika mashindano ya ligi ya Sonda hapo juzi MUM.( picha na Majid Musisy)

Yasini Mkono akipongezwa na aliye kuwa Waziri wa Usafi na Mazingira katika serikali ya wanafunzi MUM. ( picha na Majid Musisy)

Hakuna maoni: