Southgate kuendelea kuwa kocha England

Kocha Gareth Southgate
kocha wa timu ya vijana ya England chini ya miaka 21 Gareth Southgate amesema anataka kuendelea kuwa kocha wa kikosi hicho.
kauli hiyo ya kocha imekuja baada ya timu yake kuondoshwa katika michuano ya vijana ya ulaya na Itali kwa kuchabagwa mabao 3-1katika mchezo wa mwisho .
"Nina mkataba unaniweka hapa ningependa kubaki ,"alisema Southgate, ambaye mkataba wake wa sasa unafikia kikomo mwaka 2017.
"Nadhani tulikuwa hadithi mkubwa ya mafanikio katika suala la watu binafsi na wamekuja kupitia mpango huo."
Southgate alikwenda katika michuano hiyo ya ulaya bila ya nyota Saido Berahino aliyekua majeruhi , huku akiwakosa Raheem Sterling, Jack Wilshere na Ross Barkley ambao wangeweza kukisaidi kikosi hicho lakini kutokana kuwa wachezaji wanaokichezea kikosi cha kwanza cha wakubwa waliachwa.

kocha wa timu ya vijana ya England chini ya miaka 21 Gareth Southgate amesema anataka kuendelea kuwa kocha wa kikosi hicho.
kauli hiyo ya kocha imekuja baada ya timu yake kuondoshwa katika michuano ya vijana ya ulaya na Itali kwa kuchabagwa mabao 3-1katika mchezo wa mwisho .
"Nina mkataba unaniweka hapa ningependa kubaki ,"alisema Southgate, ambaye mkataba wake wa sasa unafikia kikomo mwaka 2017.
"Nadhani tulikuwa hadithi mkubwa ya mafanikio katika suala la watu binafsi na wamekuja kupitia mpango huo."
Southgate alikwenda katika michuano hiyo ya ulaya bila ya nyota Saido Berahino aliyekua majeruhi , huku akiwakosa Raheem Sterling, Jack Wilshere na Ross Barkley ambao wangeweza kukisaidi kikosi hicho lakini kutokana kuwa wachezaji wanaokichezea kikosi cha kwanza cha wakubwa waliachwa.
TIMU YA TAIFA U 15 YAANZA MCHAKA MCHAKA
TRA YAZITAKA SIMBA, YANGA KUWALIPIA KODI WACHEZAJI, MAKOCHA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeziagiza klabu zinavyoshiriki Ligi kuu Bara wakiwemo vigogo Yanga na Simba kuwalipia kodi makocha na wachezaji wao wa kigeni.
Kamshina wa TRA ameliagiza Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupitia kwa katibu mkuu wake kuwa, klabu zote vya mpira wa miguu nchini vinavyoajiri walimu, wachezaji kutoka ndani na nje ya nchi wahakikishe wanaweka kipengele cha kodi katika mikataba wanayoingia kuwaajiri.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeziagiza klabu zinavyoshiriki Ligi kuu Bara wakiwemo vigogo Yanga na Simba kuwalipia kodi makocha na wachezaji wao wa kigeni.
Kamshina wa TRA ameliagiza Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kupitia kwa katibu mkuu wake kuwa, klabu zote vya mpira wa miguu nchini vinavyoajiri walimu, wachezaji kutoka ndani na nje ya nchi wahakikishe wanaweka kipengele cha kodi katika mikataba wanayoingia kuwaajiri.
MKUDE NAYE KWA NGASA BONDENI!
Kiungo wa Simba, Jonas Mkude anaondoka leo kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kufanya majaribio.
Mkude anakwenda kufanya majaribio katika klabu ya Bidvets ya Afrika Kusini.
Msemaji wa Simba, Haji Manara amesema uongozi umempa ruksa na tayari umezungumza na uongozi wa benchi la ufundi la Taifa Stars.
“Tumemumbeaoa ruhusa Mkude aende kwenye majaribio, kwa kuwa amechaguliwa timu ya taifa, nao tumewasiliana nao.
“Kocha Mkwasa ni kati ya watu ambao wangependa maendeleo ya wachezaji kwenda nje, hii pia itaisaidia Taifa Stars. Hivyo hawezi kuwa na tatizo,” alisema.
Majaribio yanaweza kuwa ya wiki moja hadi zaidi kulingana na mahitaji ya timu hiyo inayomilikiwa na moja ya vyuo vikuu vikongwe barani Afrika cha Wits cha jijini Johannesburg.
Kiungo wa Simba, Jonas Mkude anaondoka leo kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kufanya majaribio.
Mkude anakwenda kufanya majaribio katika klabu ya Bidvets ya Afrika Kusini.
Msemaji wa Simba, Haji Manara amesema uongozi umempa ruksa na tayari umezungumza na uongozi wa benchi la ufundi la Taifa Stars.
“Tumemumbeaoa ruhusa Mkude aende kwenye majaribio, kwa kuwa amechaguliwa timu ya taifa, nao tumewasiliana nao.
“Kocha Mkwasa ni kati ya watu ambao wangependa maendeleo ya wachezaji kwenda nje, hii pia itaisaidia Taifa Stars. Hivyo hawezi kuwa na tatizo,” alisema.
Majaribio yanaweza kuwa ya wiki moja hadi zaidi kulingana na mahitaji ya timu hiyo inayomilikiwa na moja ya vyuo vikuu vikongwe barani Afrika cha Wits cha jijini Johannesburg.
MKWASA AOMBA ASIPIGWE MAWE SIMBA
Katika mahojiano yake ya kwanza ateuliwe Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa amezungumza mambo mengi huku akigusia suala la kutembelea katika mazoezi ya baadhi ya timu.
Katika mazungumzo hayo Mkwasa amesema kuna mambo ambayo Watanzania tunapaswa kuyapa nafasi katika Timu ya Taifa.
Kwanza lilikuwa ni lile la kuwapa nafasi vijana wa kikosi chake kwa kuwa ndiyo wanaanza kujipanga.
“Wavumilieni kwa kuwa sasa ndiyo wanajipanga upya tena. Waungeni mkono na msitumie muda mwingi kuwazoemea au kuwapiga.
“Nafikiri hatuko katika hali ambayo tunaweza kusema tumekaa vizuri, tunahitaji kujipanga. Tafadhari tupeni muda,” alisema Mkwasa.
Lakini la pili ni lile ambalo wakati anazungumza, aliwagusa na Simba.
“Nitapita hadi kwenda mazoezi ya baadhi ya timu kwa ajili ya kuangalia wachezaji. Lengo ni kupata wale wenye kiwango chenye msaada.
“Ninaweza kuzungumza na makocha wa timu mbalimbali pia. Mfano naweza kuwatembelea mazoezini na kushauriana nao.
Mkwasa bado ni kocha msaidizi wa Yanga na pia ni mmoja wa wachezaji magwiji wa Yanga.
KAIJAGE AWAOMBA WACHEZAJI TANZANITE KURIPOTI KAMBINI KUJIANDAA DHIDI YA ZAMBIA
Katika mahojiano yake ya kwanza ateuliwe Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa amezungumza mambo mengi huku akigusia suala la kutembelea katika mazoezi ya baadhi ya timu.
Katika mazungumzo hayo Mkwasa amesema kuna mambo ambayo Watanzania tunapaswa kuyapa nafasi katika Timu ya Taifa.
Kwanza lilikuwa ni lile la kuwapa nafasi vijana wa kikosi chake kwa kuwa ndiyo wanaanza kujipanga.
“Wavumilieni kwa kuwa sasa ndiyo wanajipanga upya tena. Waungeni mkono na msitumie muda mwingi kuwazoemea au kuwapiga.
“Nafikiri hatuko katika hali ambayo tunaweza kusema tumekaa vizuri, tunahitaji kujipanga. Tafadhari tupeni muda,” alisema Mkwasa.
Lakini la pili ni lile ambalo wakati anazungumza, aliwagusa na Simba.
“Nitapita hadi kwenda mazoezi ya baadhi ya timu kwa ajili ya kuangalia wachezaji. Lengo ni kupata wale wenye kiwango chenye msaada.
“Ninaweza kuzungumza na makocha wa timu mbalimbali pia. Mfano naweza kuwatembelea mazoezini na kushauriana nao.
Mkwasa bado ni kocha msaidizi wa Yanga na pia ni mmoja wa wachezaji magwiji wa Yanga.
Timu ya taifa ya soka ya Wanawake 'Tanzanite' wenye umri chini ya miaka 20 (U-20) Tanzanite Stars, imeingia kambini jana jioni Mbande jijini Dar es salaam na itakua ikifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar es Salaam.
Kikosi cha wacheaji 22 chini ya Kocha Mkuu, Rogasian Kaijage kinafanya mazoezi asubuhi na jioni katika uwnaja wa Azam uliopo Chamazi kujiandaa na mchezo dhidi ya U-20 ya Zambia utakaofanyika kati ya Julai 10, 11 na 12 jijini Dar es salaam.
Mchezo huo dhidi ya Zambia ni wa kuwania kufuzu kwa Fainali za Wanawake za Dunia wenye umri chini ya miaka ya 20, zitakazofanyika nchini Papua New Guinea mwaka 2016.
Wachezaji waliopo kambini ni, NajiAati Abbasi, Zuwena Aziz, Shelder Boniface, Stumai Abdallah, Donisia Daniel, Tatu Iddy (Evergreen Queens), Niwael Khalfani, Maimuna Hamis (Mburahati Queens), Anastazia Anthony, Amisa Athumani, Amina Ramadhani, Neem Paulo (JKT Queens).
Wengine ni Asha Shaban, Rebeka Daniel, Brandina Wincelaus (Tanga), Happines Hezroni, Jane Cloudy (JKT Queens), Wema Richard, Gerwa Lugomba, Sadda Ramadhani (Uzuri Queens), Anna Hebron (Evergreen Queens) na Shehati Mohamed (Mburahati Queens)
Aidha wachezaji Monica Henry, Tumaini Michael (Uzuri Queens), Diana Msewa (Mbeya), na Vailet Nicolaus (Evergreen) bado hawajaripoti kambini wanaombwa kuripoti na kuungana na wenzao katika maandalizi ya mchezo huo dhidi ya Zambia.
IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
chanzo saleh jembe
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni