Jumamosi, 7 Mei 2016

CBE DODOMA WAIKUBALI MUM FC



Na Majid  Yusuf, MUM
Timu ya  mpira wa miguu ya Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro(MUM FC) imeendelea kufanya vizuri katika michezo ya kirafiki baada ya kuibuka na ushindi wa moja bila dhidi ya Chuo Kikuu cha Biashara Dodoma (CBE FC).

Katika mchezo huo uliochezwa Jumamosi ya leo katika Chuo Kikuu cha Waislam Morogoro ( MUM) ulishuhudiwa wenyeji MUM FC wakitafuta mbinu ya ziada ili kupata ushindi baada ya wageni CBE Dodoma kuonekana kuimalika hukuwakihitaji kulipiza kisasi dhidi ya timu hiyoiliyowachabanga 4 - 3 huko kwao mkoani Dodoma.

Shukurani za pekee ziende kwa timu kaptain wa MUM FC Mohamed Humbaru( Bro Mudy)aloipatia goli la ushindi na kufanya mchezo umalizike kwa moja bila dhidi ya wapinzani wao CBE FC ya Dodoma.


Mara baada ya mchezo huo walimuwa timu zote mbiliwalipongezana kutokana na timu hizokuonyesha mchezowa kiungwana uliokuwa umesheheni nidhamu kuanzia ule wa mkoani Dodoma na wa leo. 

HABARI PICHA
Kocha mkuu wa MUM FC Abdallah Kessy akijipanga kukabiliana na mtanange wa CBE  jion ya leo. picha na Majid Yusuf.


Kocha mkuu wa MUM fc akiufatilia mtanange mkali dhidi yake na CBE ya Dodoma.  picha na Majid Yusuf.

Timu ya MUM FC akifanya mazoezi madogo kabla ya mechi yao  na CBE ya Dodoma. picha na Majid Yusuf.



MUM FC  wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao waleo jion dhidi ya CBE FC ya Dodoma. picha na Majid Yusuf




Timu ya CBE ya Dodoma wakifanya womapu kabla ya mechi yao dhidi ya wenyeji wake MUM FC jion ya leo. picha na Majid Yusuf.


CBE FC wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mechi yao na MUM FC. picha na Majid Yusuf.

Benchi la ufundi la MUM FC wakifatilia mtanange wao na CBE ya Dodoma jion ya leo. picha na Majid Yusuf.





Kocha wa MUM FC akitoa maelekezo kwa timu yake dhidi ya CBE FC ya Dodoma. picha na Majid Yusuf




Baadhi ya wachezaji wa timu ya MUM FC wakijipongeza baada ya goli la kwanza la Mohamed  Humbaru. picha na Majid Yusuf.

Baadhi ya mashabiki wakiufatilia kwa makini  mtanange wa MUM FC dhidi  ya CBE ya Dodoma  jioni ya leo.  picha na Majid Yusuf.

Benci la ufundi la timu ya CBE YA Dodoma wakifatilia mtanange kwa umakini. picha na Majid Yusuf.


Timu zote mbili CBE FC na MUM FC wakiwa katika picha ya pamoja  baada ya mchezo wao ulopigwa katika viwanja vya MUM kwa ishara ya kudumisha upendo na amani. picha na Majid Yusuf.


Waziri wa michezo MUM  mstaafuwa Hussein Nyombi(kulia)  akitambulisha uongozi mpya kwa wageni CBE. Picha na Majid Yusuf.

Alhamisi, 5 Mei 2016

MUM VETERANI YAKUBALI KICHAPO NYUMBAN



Timu ya wachezaji wakongwe wa Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro(MUM VETERANI) imeendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu baada ya kukubali kipigo kingine kutoka kwa Young Muslim ya mkoani hapa.

Timu hiyo inayoundwa na wachezaji wa zamani wa timu ya Chuo Kikuu cha Wislam cha Morogoro ilikubali kipigo cha 2-0 nyumbani dhidi ya wageni Young Muslim ambao walionekana kutawala kwa asilimia kubwa mchezo huo.

Jamal Sarah ndiye alikuwa wa kwanza kutikisa nyavu za wenyeji baada ya kuiandikia Young Muslim goli la kwanza kabla ya Said Abdallah kutikisa tena nyavu hizo nakuipatia timu yake goli la pili na kufanya mambo yabaki hivyo mpaka mwisho wa mchezo huo.

Mara baada ya mchezo huo Msimamizi wa timu ya Young Muslim Ashraf Suleiman(pedo) aliipongeza timu yake kwa kupata ushindi huo wa ugenini licha ya kukiri kwamba bado timu yake inahitaji marekebisho.

“bado tunahitaji mabadiliko makubwa katika safu yetu ya ushambuliaji na kiungo ili kuwa na kasi zaidi ya mashamblizi na ufungaji magoli” Alisema Suleiman(pedo).

Timu ya Young Muslim inayomilikiwa na Ashraf Suleiman(pedo) ipo katika maandalizi kwa ajiri ya kushiriki ligi daraja la nne mkoani Morogoro ambapo mchezo dhidi ya MUM VETERAN ni sehemu ya maandalizi hayo.




MUM VETERANI FC wakiwa katika picha ya pamoja.  pincha na Majid Yusuf

Timu ya Young Muslim ikipasha kabla ya mechi yao na MUM VETERANI FC .  pincha na Majid Yusuf


Timu ya Young Muslim ikipokea maelekezo kutoka kwa kiongozi wake Ashraf Suleimani( Pedo).  pincha na Majid Yusuf


Timu ya Young Muslim ikiwa katika picha ya pamoja .  pincha na Majid Yusuf


Timu ya wachezaji wakongwe wa Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro(MUM VETERANI) imeendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu baada ya kukubali kipigo kingine kutoka kwa Young Muslim ya mkoani hapa.

Timu hiyo inayoundwa na wachezaji wa zamani wa timu ya Chuo Kikuu cha Wislam cha Morogoro ilikubali kipigo cha 2-0 nyumbani dhidi ya wageni Young Muslim ambao walionekana kutawala kwa asilimia kubwa mchezo huo.

Jamal Sarah ndiye alikuwa wa kwanza kutikisa nyavu za wenyeji baada ya kuiandikia Young Muslim goli la kwanza kabla ya Said Abdallah kutikisa tena nyavu hizo nakuipatia timu yake goli la pili na kufanya mambo yabaki hivyo mpaka mwisho wa mchezo huo.

Mara baada ya mchezo huo Msimamizi wa timu ya Young Muslim Ashraf Suleiman(pedo) aliipongeza timu yake kwa kupata ushindi huo wa ugenini licha ya kukiri kwamba bado timu yake inahitaji marekebisho.

“bado tunahitaji mabadiliko makubwa katika safu yetu ya ushambuliaji na kiungo ili kuwa na kasi zaidi ya mashamblizi na ufungaji magoli” Alisema Suleiman(pedo).

Timu ya Young Muslim inayomilikiwa na Ashraf Suleiman(pedo) ipo katika maandalizi kwa ajiri ya kushiriki ligi daraja la nne mkoani Morogoro ambapo mchezo dhidi ya MUM VETERAN ni sehemu ya maandalizi hayo.







Timu za MUM VETERANI FC na Young Muslim wakipongezana baada ya kumaliza mchezo wao wa kirafiki.  pincha na Majid Yusuf


Young Muslim fc na MUM VETERANI FC wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mchezo wao wa kirafiki wakidumisha amani na mshikamano. pincha na Majid Yusuf