![]() |
Kikosi cha Makarwe Fc kikiongozwa na captain Charles watatu (kushoto) kabla ya kukwaanana Muleba stendi fc hapo jana katika kiwanja cha vijana wilayani Muleba. |
![]() |
Kikosi cha Muleba stend fc kiongozwa na captain Matov John wa pili kutoka kulia ( waliosimama) kabla ya kuumana na Makarwe fc hapoa jana katika nyasi za Uwanja wa Vijana wilayani Muleba. |
![]() |
Baadhi ya vijana chipukizi katika medani ya soka kuanzia kushoto Mukusin ,Afidhu(katikati) na mwisho kulia Kpilima, waki wakilisha timu yao ya Muleba stendi dhidi ya Makarwe hapo jana. |
![]() |
Kipaji cha mtu ni ajira yake tosha!! |
![]() |
![]() |
![]() |
Waamuzi wa mchezo wa Makarwe fc dhidi ya Muleba stendi baada ya kukagua timu wakijipanga kuliwasha kwa dakika 90 hapo jana. |
![]() |
Unaposema beki hana sifa basi kijana huyu ndo kazi yake mwanzo mwisho dakika 90 ndo pumzi yake. |
![]() |
BENCHI LA UFUNDI LA MULEBA STENDI FC |
![]() |
Midfielder wa Muleba Stendi fc Maurid( Midfielder kisheti Maula) akipoza koo. |
![]() |
Striker Nikison (watatu kutoka kushoto) anayetambua wajibu awapoa dimbani wake mechi 4 na mabao 4. |
![]() |
![]() |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni