Jumapili, 26 Julai 2015

JASHO LA MTU HALILIWI, CHEZEA NDNDO WE????????

Kikosi cha Makarwe Fc  kikiongozwa na captain Charles watatu (kushoto) kabla ya kukwaanana Muleba stendi fc hapo jana katika kiwanja cha vijana wilayani Muleba.

Kikosi cha Muleba stend  fc kiongozwa na captain Matov John wa pili kutoka kulia ( waliosimama) kabla ya kuumana na Makarwe fc hapoa jana katika nyasi za Uwanja wa Vijana wilayani Muleba.

Baadhi ya vijana chipukizi katika medani ya soka kuanzia kushoto Mukusin ,Afidhu(katikati) na mwisho kulia Kpilima, waki wakilisha timu yao ya Muleba stendi dhidi ya Makarwe hapo jana.

Mmoja wa waendeshaji wa blog hii Majid Y. Abdulkarim akipata picha na baadhi ya wachezaji wa Muleba stendi kabla ya kukiputa na Makarwe fc kwenye mchezo wa jana Muleba stendi ilipata ushindi wa bao tano kwa bila.

Kipaji cha mtu ni ajira yake tosha!!







Waamuzi wa mchezo wa Makarwe fc dhidi ya Muleba stendi baada ya kukagua timu wakijipanga kuliwasha kwa dakika 90 hapo jana.



Unaposema beki hana sifa basi kijana huyu ndo kazi yake mwanzo mwisho dakika 90 ndo pumzi yake.

BENCHI LA UFUNDI LA MULEBA STENDI FC

Midfielder wa Muleba Stendi fc Maurid( Midfielder kisheti Maula) akipoza koo.



Striker Nikison (watatu kutoka kushoto) anayetambua wajibu awapoa dimbani wake mechi 4 na mabao 4.









Hakuna maoni: