![]() |
Timu ya Sayansi MWAKA WA PILI wakipiga jaramba kabla ya nusu fainali yao na Timu ya Staff jion ya leo katika kiwanja cha MUMU( picha na Majid Musisy) |
![]() |
Omary Mwaliko wa kwanza kulia akiongoza benchi la ufundi katika timu ya sayansi Mwaka wa Pili jioni ya leo dhidi ya Staff MUM. ( picha na Majid Musisy) |
![]() |
Baadhi ya wachezaji wa timu ya Staff wakiwa katika benchi lao wa kwanza kushoto ni Mwl.Malegeri, wa pili Mwl. Chittota, wa tatu kutoka kushoto Mwl. Ferouse. ( picha na Majid Musisy) |
![]() |
Mwl. Hamad ( timu kaptain ) akiongoza timu yake ya Staff kuelekea mapumziko. ( picha na ( Majid Musisy) |
![]() |
Baadhi ya wachezaji wa timu ya Staff wakiutazama mchezo wao dhidi ya sayansi mwaka wa pili. ( picha na Majid Musisy) |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni