16:00 | YANGA | Vs | AZAM FC |
16:00 | TANZANIA | Vs | NIGERIA |
Msimamo wa Ligi Kuu Msimu Huu
Rn Timu P W D L F A Gd Pts
1 AFRICAN SPORT 0 0 0 0 0 0 0 0
2 Azam FC 0 0 0 0 0 0 0 0
3 Coastal Union 0 0 0 0 0 0 0 0
4 JKT RUVU 0 0 0 0 0 0 0 0
5 KAGERA SUGAR 0 0 0 0 0 0 0 0
6 MAJIMAJI FC 0 0 0 0 0 0 0 0
7 MBEYA CITY 0 0 0 0 0 0 0 0
8 MGAMBO SHOOTING 0 0 0 0 0 0 0 0
9 MTIBWA SUGAR 0 0 0 0 0 0 0 0
10 MWADUI FC 0 0 0 0 0 0 0 0
11 NDANDA FC 0 0 0 0 0 0 0 0
12 SIMBA SC 0 0 0 0 0 0 0 0
13 STAND UNITED 0 0 0 0 0 0 0 0
14 T. PRISONS 0 0 0 0 0 0 0 0
15 TOTO AFRICANS 0 0 0 0 0 0 0 0
16 YANGA 0 0 0 0 0 0 0 0
Rn | Timu | P | W | D | L | F | A | Gd | Pts |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | AFRICAN SPORT | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2 | Azam FC | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
3 | Coastal Union | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
4 | JKT RUVU | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
5 | KAGERA SUGAR | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
6 | MAJIMAJI FC | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
7 | MBEYA CITY | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
8 | MGAMBO SHOOTING | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
9 | MTIBWA SUGAR | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
10 | MWADUI FC | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
11 | NDANDA FC | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
12 | SIMBA SC | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
13 | STAND UNITED | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
14 | T. PRISONS | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
15 | TOTO AFRICANS | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
16 | YANGA | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
KASEKE ASISITIZA KUPIGA DAKIKA ZOTE YANGA, SI MBEYA CITY
Kesho Jumapili Yanga inacheza mechi ya kirafiki na Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya katika kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika.
Katika kikosi cha Yanga, yumo kiungo mshambuliaji Deus Kaseke aliyesajiliwa hivi karibuni kutoka Mbeya City, ambaye angeweza kuutumia mchezo huo kuwaaga wachezaji wenzake.
Pengine Kaseke angecheza kipindi cha kwanza akiwa Mbeya City kisha kipindi cha pili akacheza Yanga kama alivyofanya Geoffrey Mwashiuya pindi timu yake ya zamani ya Kimondo ilipocheza na mabingwa hao watetezi wa ligi kuu.
Kaseke amesema kuwa, haoni sababu ya kuichezea Mbeya City kwani tayari yeye ni mchezaji wa Yanga na hawezi kuichezea timu nyingine.
“Nicheze Mbeya City? Hapana, nitacheza Yanga kwa dakika zote tena kwa kiwango changu kilekile, watu wasitarajie kwamba nitazitumikia timu zote kwa vipindi tofauti. Waelewe tu kuwa mimi ni mchezaji wa Yanga.
“Wachezaji wengi hasa wa kimataifa wamekuwa wakifanya hivyo, lakini kwangu sijafikiria,” alisema Kaseke ambaye amejihakikishia namba kwenye kikosi cha Yanga.
Akizungumzia mchezo huo, Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, alisema: “Nilikuwa Dar es Salaam, ndiyo narudi Mbeya sasa (jana), nitaiandaa timu kesho (leo Jumamosi) kwa mechi hiyo.”
Katika mchezo huo, Yanga inatarajiwa kuwatumia nyota wake wengine wapya akiwemo Donald Ngoma, Thabani Kamusoko, Malimi Busungu, Simon Matheo, Benedict Tinocco na Haji Mwinyi.
Kesho Jumapili Yanga inacheza mechi ya kirafiki na Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya katika kujiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika.
Katika kikosi cha Yanga, yumo kiungo mshambuliaji Deus Kaseke aliyesajiliwa hivi karibuni kutoka Mbeya City, ambaye angeweza kuutumia mchezo huo kuwaaga wachezaji wenzake.
Pengine Kaseke angecheza kipindi cha kwanza akiwa Mbeya City kisha kipindi cha pili akacheza Yanga kama alivyofanya Geoffrey Mwashiuya pindi timu yake ya zamani ya Kimondo ilipocheza na mabingwa hao watetezi wa ligi kuu.
Kaseke amesema kuwa, haoni sababu ya kuichezea Mbeya City kwani tayari yeye ni mchezaji wa Yanga na hawezi kuichezea timu nyingine.
“Nicheze Mbeya City? Hapana, nitacheza Yanga kwa dakika zote tena kwa kiwango changu kilekile, watu wasitarajie kwamba nitazitumikia timu zote kwa vipindi tofauti. Waelewe tu kuwa mimi ni mchezaji wa Yanga.
“Wachezaji wengi hasa wa kimataifa wamekuwa wakifanya hivyo, lakini kwangu sijafikiria,” alisema Kaseke ambaye amejihakikishia namba kwenye kikosi cha Yanga.
Akizungumzia mchezo huo, Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, alisema: “Nilikuwa Dar es Salaam, ndiyo narudi Mbeya sasa (jana), nitaiandaa timu kesho (leo Jumamosi) kwa mechi hiyo.”
Katika mchezo huo, Yanga inatarajiwa kuwatumia nyota wake wengine wapya akiwemo Donald Ngoma, Thabani Kamusoko, Malimi Busungu, Simon Matheo, Benedict Tinocco na Haji Mwinyi.
KISA BARIDI YA MBEYA, PLUIJM ATAMBA YANGA ITAREJEA DAR NA KUIMALIZA AZAM FC
Yanga ipo kambini jijini Mbeya kwenye baridi kali lakini kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm anaamini hali hiyo ya hewa itawaweka fiti wachezaji wake kuweza kufanya vizuri katika mechi zao zijazo ikiwemo dhidi ya Azam FC.
Agosti 22, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Yanga itacheza na Azam mechi ya Ngao ya Jamii ambayo hukutanisha timu bingwa wa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara na iliyoshika nafasi ya pili.
Yanga ambayo ni bingwa mtetezi ipo kambini Mbeya ambako kesho Jumapili itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine ili kujipima nguvu.
Pluijm, amesema: “Licha ya kuwepo baridi, naamini hiyo ni njia mojawapo ya kuwajenga wachezaji wangu huku tukihakikisha tunapunguza makosa yanayojitokeza mara kwa mara kwenye kikosini chetu.”
Tayari Yanga imecheza mechi mbili za kirafiki ikiwa Nyanda za Juu, Kusini na kushinda zote ikianza kwa kuitandika Kimondo kwa mabao 4-1 kabla ya kuituliza Prisons kwa mabao 2-0.
Imebakiza mechi moja dhidi ya Mbeya City ambayo ndiyo timu ngumu zaidi katika ukanda huo.
Yanga ipo kambini jijini Mbeya kwenye baridi kali lakini kocha wa timu hiyo, Hans van Der Pluijm anaamini hali hiyo ya hewa itawaweka fiti wachezaji wake kuweza kufanya vizuri katika mechi zao zijazo ikiwemo dhidi ya Azam FC.
Agosti 22, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Yanga itacheza na Azam mechi ya Ngao ya Jamii ambayo hukutanisha timu bingwa wa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara na iliyoshika nafasi ya pili.
Yanga ambayo ni bingwa mtetezi ipo kambini Mbeya ambako kesho Jumapili itacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine ili kujipima nguvu.
Pluijm, amesema: “Licha ya kuwepo baridi, naamini hiyo ni njia mojawapo ya kuwajenga wachezaji wangu huku tukihakikisha tunapunguza makosa yanayojitokeza mara kwa mara kwenye kikosini chetu.”
Tayari Yanga imecheza mechi mbili za kirafiki ikiwa Nyanda za Juu, Kusini na kushinda zote ikianza kwa kuitandika Kimondo kwa mabao 4-1 kabla ya kuituliza Prisons kwa mabao 2-0.
Imebakiza mechi moja dhidi ya Mbeya City ambayo ndiyo timu ngumu zaidi katika ukanda huo.
KIUNGO MPYA WA SIMBA MZIMBABWE AENDELEA KUPIGA MKWARA
Kiungo Justice Majabvi, amesaini mkataba wa kuichezea Simba na amepiga mkwara mzito kwa viungo wenzake akiwemo Jonas Mkude kuwa wajipange la sivyo watakaa benchi.
Awali, baadhi ya viongozi wa Simba hawakutaka kabisa Majabvi asajiliwe kwa maelezo kuwa kiwango chake ni cha kawaida wakati wapo wazawa kama Mkude, Said Ndemla, Awadh Juma na Abdi Banda wanaoweza kucheza nafasi yake.
Lakini Kocha Dylan Kerr akawaambia viongozi hao: “Mimi ndiye bosi na lazima mumsajili Majabvi.” Kweli Majabvi raia wa Zimbabwe akasaini mkataba wa miaka miwili na sasa ni mali ya Simba.
Muda mfupi baada ya kusaini mkataba huo, Majabvi akasisitiza: “Najipanga kikamilifu kucheza kikosi cha kwanza, nimekuta watu wanacheza hapa nami nitapambana ili nicheze, naamini hakuna linaloshindikana.
“Kwa upande wangu ninajipanga kikamilifu kuhakikisha napigana na kuonyesha uwezo wangu wa hali ya juu ambao utamshawishi kocha anipange katika kikosi cha kwanza na kuwapokonya namba hawa niliowakuta,” alisema Majabvi ambaye amewahi kuichezea timu ya Vicem Hai Phong ya Vietnam.
Kiungo Justice Majabvi, amesaini mkataba wa kuichezea Simba na amepiga mkwara mzito kwa viungo wenzake akiwemo Jonas Mkude kuwa wajipange la sivyo watakaa benchi.
Awali, baadhi ya viongozi wa Simba hawakutaka kabisa Majabvi asajiliwe kwa maelezo kuwa kiwango chake ni cha kawaida wakati wapo wazawa kama Mkude, Said Ndemla, Awadh Juma na Abdi Banda wanaoweza kucheza nafasi yake.
Lakini Kocha Dylan Kerr akawaambia viongozi hao: “Mimi ndiye bosi na lazima mumsajili Majabvi.” Kweli Majabvi raia wa Zimbabwe akasaini mkataba wa miaka miwili na sasa ni mali ya Simba.
Muda mfupi baada ya kusaini mkataba huo, Majabvi akasisitiza: “Najipanga kikamilifu kucheza kikosi cha kwanza, nimekuta watu wanacheza hapa nami nitapambana ili nicheze, naamini hakuna linaloshindikana.
“Kwa upande wangu ninajipanga kikamilifu kuhakikisha napigana na kuonyesha uwezo wangu wa hali ya juu ambao utamshawishi kocha anipange katika kikosi cha kwanza na kuwapokonya namba hawa niliowakuta,” alisema Majabvi ambaye amewahi kuichezea timu ya Vicem Hai Phong ya Vietnam.
LIFE AFTER JOB! ANCELOTTI AENDELEA KULA BATA BAADA YA ILE ISHU YAKE YA KUTIMULIWA MADRID
Kama ulidhani Carlo Ancelotti ana maisha ya shida sana kwa kuwa alifukuzwa kazi Real Madrid, basi umejidanganya.
Kocha huyo ametupia picha mtandaoni akionyesha bonge la samaki alilolivua kule Vancouver nchini Canada.
Ancelotti raia wa Italia amekuwa akisafiri nchini mbalimbali akila maisha kwa raha zake licha ya kwamba Madrid waliotesha majani kibarua chake na kumkabidhi Rafa Benitez.
HAWA ATHLETIC BILBAO NOMA, MESSI NDANI WAICHAPA BARCELONA 4-0 HISPANIA SUPER CUP
Kama ulidhani Carlo Ancelotti ana maisha ya shida sana kwa kuwa alifukuzwa kazi Real Madrid, basi umejidanganya.
Kocha huyo ametupia picha mtandaoni akionyesha bonge la samaki alilolivua kule Vancouver nchini Canada.
Ancelotti raia wa Italia amekuwa akisafiri nchini mbalimbali akila maisha kwa raha zake licha ya kwamba Madrid waliotesha majani kibarua chake na kumkabidhi Rafa Benitez.
Siku chache baada ya kutwaa ubingwa wa Uefa Super Cup, Barcelona wamekiona cha moto baada ya kukutana na kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa Athletic Bilbao.
Licha ya kuwemo kwa nyota Lionel Messi, Bilbao wametoa adhabu hiyo kwa Barcelona katika mechi ya Super Cup ya Hispania.
Hadi mapumziko, Bilbao walikuwa wanaongoza kwa bao 1-0 lililofungwa na Mikel San Jose aliyefunga katika dakika ya 13.
Huku ikionekana Barcelona ingerejea na kujirekebisha katika kipindi cha pili kama ilivyofanya kwenye mechi ya Uefa Super Cup dhidi ya Sevilla baada ya kutangulia kufungwa na kusawazisha, haikuwa hivyo.
Kwani Bilbao ndiyo walizidi kupaa na kufunga mabao ya harakaharaka baada ya Artiz Aduriz kufanya mabao mawili ya fasta katika dakika ya 53 na baadaye 63.
Kitendo cha Bilbao kufikisha mabao matatu kilionekana kuwachanganya Barcelona, wakaendelea kushambulia mfululizo na kujisahau kufanya ulinzi mzuri.
Hali hiyo ilisababisha Bilbao kupata bao la nne kupitia Aduriz aliyekuwa anafunga lake la tatu au hat trick.
vyanzo vya habari salehjembe & azam chama langu